Thursday, May 31, 2012

Letter to the president by Jemedariflows


 Guest post by Jemedari. Lyrics to the song Mr. President. Great stuff.

Verse 1
Jina kamili wananiita Jemedari
Msanii wa kufoka nikitumia mistari
Mkaazi wa jiji, mzalendo toka tangu
Nina barua kwako, Rais. Mawazo yangu
Nianze kwa kuzusha au nianze kwa shukrani
Nikunje sura au nianze kwa utani
Nije kwa kwa kukashifu au ntoe samahani
Mi mabonga na aliye kwa usukani
Kuna mambo flani ndani nahisi kama huoni
Ama labda waona lakini wasikia soni
Thoughts za mamilioni kutoka ndani moyoni
Naja kwa zangu kasi na sipigi hata honi
Najua utasema kuna watu wanaohusika
Na mambo mengi kichwani yanakushika
Sima uwezo mimi kule bungeni kufika so
Naomba tu ukaribie speaker

Chorus
Police killings, Murders and Drug Dealings
IDPs living in rooms with no ceilings
MPs rolling in Millis with no feelings
(Excuse me. Am talking to you, Mr. President)
Teachers, Doctors striking for more pay
And money gets wasted everyday
And these things happen as you get your way
(Excuse me. Am talking to you, Mr. President)

Verse 2
Wangapi daily waanagushwa na risasi za polisi
Bila hatia, hakuna kitu wanahisi
Wangapi ni ma IDP hawana kwao
Bado twaimba ati haki iwe ngao?
Upuzi kusema “kura yangu ni sauti”
Kusimama kusema “kwa bendera nasaluti”
Maliza boot indo ninunue kabuti
Nisichafuke nikipitwa na Prado na suti
Nilisoma kusoma, nipite nipate kazi
Nipige mchanga, nichange za kukomboa wazazi.
Nile kula kushiba, ‘kibaki iwe ni akiba
Hepa miba, nikirudi mchangani iwe ni msiba
Vile nacheki mwananchi ndo huumia.
Pata hamsini maisha inataka mia
Kazi si kazi, kuishi ni kazi pia
Daktari walishagoma huna hope ukizimia!!!

Verse 3
Forget the president, this is for all leaders
Forget the writer, this is for all readers
Forget the speaker, this is for all heeders
Am talking to the living souls of all bleeders
Forget rapping, assume am just talking
Forget about talking the talk and start walking
Forget the facebook updates and twitter mentions
Walk up to your local leader and ask (ask)
-Show me where the road is, tell me where’s the water?
Show me the land, where are you taking the squatters?
Show me the school? Where are you building the quarters?
Show me the jobs you promised sons and daughters
Realize, Change is my mission
Realize, my vote is my decision
Realize, my living is my heaven
And am a Kenyan, 24-7…

Chorus

Police killings, Murders and Drug Dealings
IDPs living in rooms with no ceilings
MPs rolling in Millis with no feelings
(Excuse me. Am talking to you, Mr. President)
Teachers, Doctors striking for more pay
And money gets wasted everyday
And these things happen as you get your way
(Excuse me. Am talking to you, Mr. President)

 


2 comments:

  1. I listened to this song the other day, Potentash, and I was like: Jemedari, you aced it my bro!

    Now, this is the song that also runs with the theme of your posts lately. And I agree with those sentiments, totally.

    ReplyDelete
  2. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete